Pages

Monday, January 14, 2013

GET TOGETHER EVENT ON 23 FEB 2013

Habari wanachama,

rejea kikao kilichopita, tumekubaliana siku ya 23.02.2013 tutafanya get together party ya mwaka wa jana, ikumbukwe, tulishindwa kufanya hii party ambayo ipo kwa mujibu wa katiba kutokana na mambo kuwa mengi ndani ya kalendar ya chama, kuna mengi sana yatafanyika siku hiyo, msikose kwani ni kosa kikatiba kukosa siku hiyo.

Imetolewa na japhet Mukala

Sunday, February 5, 2012

HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE (1938-1984)

HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE (1938-1984)


Leo Aprili 12,2009 ni miaka 25 tangu afariki Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania Hayati Edward Moringe Sokoine. Sokoine alifariki kwa ajali ya gari huko Dakawa nje kidogo ya Mji wa Morogoro,katika barabara kuu ya MOROGORO-DODOMA akiwa anatokea Dodoma kwenye Kikao cha Bunge.
Tutamkumbuka kwa jinsi alivyojishughulisha na kukomesha UFISADI wa wakati ule.

1 Maoni yako:

  1. Ufisadi kwa wakati ule na sasa tutaita Dhuluma.
    Hivi leo tunaweza tukatangaza vita Dhidi ya "wahujumu uchumi na walanguzi?" Hizi ni siasa zilizopitwa na wakati. Siasa zilizorudisha maendeleo ya Tanganyika (au Tanzania). Tushazika siasa za ujamaa na kujitegeme na tumegundua baadaye kwamba fikra sahihi za mwenyekiti wa C.C.M zilikuwa si sahihi kabisa. Juu ya kuwa walikuwa na nia safi lakini tukubali walichemsha! Na baadaye tukafata soko huru kama alivyobashiri bwana Oscar Kambona, ambayo Nyerere na Kawawa waliyapinga.

Monday, December 19, 2011

UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA-MWL NYERERE

Nchi yetu bado changa. Tusione haya kuendeleza taratibu ambazo zinaonekana kuwa zinafaa, na wala
kubadili zile ambazo japokuwa huko nyuma zimetufaa, lakini sasa "zimepitwa na wakati." Ndivyo
tulivyofanya kuhusu mfumo wa chama kimoja; tusiogope kufanya hivyo kuhusu mageuzi ya kuleta
demokrasia zaidi ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Inawezekana kwamba demokrasia peke yake ambayo kwa sasa itaendelea kuwa na maana kwa nchi hii
wakati tunasubiri kupata mpinzani mzuri na makini nje ya CCM, ni demokrasia ndani ya CCM.
Wanachama wa CCM wana wajibu wa kukitazama upya chama chao na kuona jinsi ya kuongeza
demokrasia ndani yake. Wajibu huu si kwa chama chao tu, ni wajibu wa uzalendo kwa manufaa ya
Tanzania nzima.
75
WOSIA
Ole wake Tanzania
Tusipoisaidia!
Niwezalo nimefanya:
Kushauri na kuonya.
Nimeonya: Tahadhari!
Nimetoa ushauri:
Nimeshatoka kitini;
Zaidi nifanye nini.
Namlilia Jalia
Atumulikie njia;
Tanzania ailinde,
Waovu wasiivunde.
Nasi tumsaidie
Yote tusiyamwachie!
Amina, tena Amina!
Amina tena na tena!
T A M A T I

Monday, December 12, 2011

Photos: Andre Villas-Boas Roars Again: Chelsea-Manchester City, 2-1 (PHOTOS)


Photos: Andre Villas-Boas Roars Again: Chelsea-Manchester City, 2-1 (PHOTOS)

Despite all the bad press he has been generating these days, Andre Villas-Boas has reason to cheer again.
The Blues were able to end the unbeaten run of Premier League leaders Manchester City who were beaten 2-1 at Stamford Bridge on Monday night despite an early goal from Mario Balotelli.
Balotelli struck just 98 seconds into the game, but Chelsea were level on 34 minutes when Raul Meireles brilliantly volleyed home a timely cross from Daniel Sturridge.
Gael Clichy was sent off on 58 minutes for a second yellow card.  And Frank Lampard's late penalty sealed the victory in favour of Chelsea, marking City's first defeat in this competition.
As of now, City lead the table by just two points ahead of neighbours Manchester United.
Here are some of the key moments from the action:
Chelsea-Manchester City
Manchester City's Mario Baoltelli celebrates his goal against Chelsea during their English Premier League soccer match in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester City
Chelsea's Jose Bosingwa and Ramires challenge Manchester City's David Silva during their English Premier League soccer match in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester City
Chelsea's Didier Drogba reacts during their English Premier League soccer match against Manchester City in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester City
Manchester City's Gael Clichy is sent off by referee Mark Clattenburg during their English Premier League soccer match against Chelsea in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester City
Chelsea's Frank Lampard shoots and scores a penalty past Manchester City goalkeeper Joe Hart during their English Premier League soccer match in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester Cit
Chelsea's manager Andre Villas-Boas reacts during their English Premier League soccer match against Manchester City in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
This article is copyrighted by IBTimes.co.uk, the business news leader
 

Monday, November 7, 2011

HONGERA KWA KUMALIZA MWAKA

Kwanza nichukue nafasi hii kuwashukuruni nyote kwa jitihada zenu za hapa na pale mlizoonesha kuhakikisha chama kinakuwepo na kinasonga mbele, ni hatua kubwa tumepitia hadi kufika hatuu ya kuitwa chama chenye karibia wanachama hamsini! niwashukuru viongozi wote waliomaliza muda wao na viongozi wapya, chama ni chetu na lazima tukijenge kwa moyo wetu wote!niwatoe wasiwasi,mmeniamini tena kukiongoza sana, ningependa sana ushirikiano ili imani mlionesha kwangu na uongozi wote kwa ujumla inaonekana!zaidi nihaidi ushirikiano, uwazi na ukweli katika kufanikisha malengo ya chama.by japhet mukala-mwenyekiti wa chama.