Pages

Monday, January 14, 2013

GET TOGETHER EVENT ON 23 FEB 2013

Habari wanachama,

rejea kikao kilichopita, tumekubaliana siku ya 23.02.2013 tutafanya get together party ya mwaka wa jana, ikumbukwe, tulishindwa kufanya hii party ambayo ipo kwa mujibu wa katiba kutokana na mambo kuwa mengi ndani ya kalendar ya chama, kuna mengi sana yatafanyika siku hiyo, msikose kwani ni kosa kikatiba kukosa siku hiyo.

Imetolewa na japhet Mukala