Pages

Monday, December 19, 2011

UONGOZI WETU NA HATIMA YA TANZANIA-MWL NYERERE

Nchi yetu bado changa. Tusione haya kuendeleza taratibu ambazo zinaonekana kuwa zinafaa, na wala
kubadili zile ambazo japokuwa huko nyuma zimetufaa, lakini sasa "zimepitwa na wakati." Ndivyo
tulivyofanya kuhusu mfumo wa chama kimoja; tusiogope kufanya hivyo kuhusu mageuzi ya kuleta
demokrasia zaidi ndani ya Chama Cha Mapinduzi.
Inawezekana kwamba demokrasia peke yake ambayo kwa sasa itaendelea kuwa na maana kwa nchi hii
wakati tunasubiri kupata mpinzani mzuri na makini nje ya CCM, ni demokrasia ndani ya CCM.
Wanachama wa CCM wana wajibu wa kukitazama upya chama chao na kuona jinsi ya kuongeza
demokrasia ndani yake. Wajibu huu si kwa chama chao tu, ni wajibu wa uzalendo kwa manufaa ya
Tanzania nzima.
75
WOSIA
Ole wake Tanzania
Tusipoisaidia!
Niwezalo nimefanya:
Kushauri na kuonya.
Nimeonya: Tahadhari!
Nimetoa ushauri:
Nimeshatoka kitini;
Zaidi nifanye nini.
Namlilia Jalia
Atumulikie njia;
Tanzania ailinde,
Waovu wasiivunde.
Nasi tumsaidie
Yote tusiyamwachie!
Amina, tena Amina!
Amina tena na tena!
T A M A T I

Monday, December 12, 2011

Photos: Andre Villas-Boas Roars Again: Chelsea-Manchester City, 2-1 (PHOTOS)


Photos: Andre Villas-Boas Roars Again: Chelsea-Manchester City, 2-1 (PHOTOS)

Despite all the bad press he has been generating these days, Andre Villas-Boas has reason to cheer again.
The Blues were able to end the unbeaten run of Premier League leaders Manchester City who were beaten 2-1 at Stamford Bridge on Monday night despite an early goal from Mario Balotelli.
Balotelli struck just 98 seconds into the game, but Chelsea were level on 34 minutes when Raul Meireles brilliantly volleyed home a timely cross from Daniel Sturridge.
Gael Clichy was sent off on 58 minutes for a second yellow card.  And Frank Lampard's late penalty sealed the victory in favour of Chelsea, marking City's first defeat in this competition.
As of now, City lead the table by just two points ahead of neighbours Manchester United.
Here are some of the key moments from the action:
Chelsea-Manchester City
Manchester City's Mario Baoltelli celebrates his goal against Chelsea during their English Premier League soccer match in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester City
Chelsea's Jose Bosingwa and Ramires challenge Manchester City's David Silva during their English Premier League soccer match in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester City
Chelsea's Didier Drogba reacts during their English Premier League soccer match against Manchester City in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester City
Manchester City's Gael Clichy is sent off by referee Mark Clattenburg during their English Premier League soccer match against Chelsea in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester City
Chelsea's Frank Lampard shoots and scores a penalty past Manchester City goalkeeper Joe Hart during their English Premier League soccer match in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
Chelsea-Manchester Cit
Chelsea's manager Andre Villas-Boas reacts during their English Premier League soccer match against Manchester City in London.
Source: Reuters Date:12/13/2011
This article is copyrighted by IBTimes.co.uk, the business news leader