Wednesday, February 8, 2012
Sunday, February 5, 2012
HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE (1938-1984)
HAYATI EDWARD MORINGE SOKOINE (1938-1984)

Leo Aprili 12,2009 ni miaka 25 tangu afariki Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania Hayati Edward Moringe Sokoine. Sokoine alifariki kwa ajali ya gari huko Dakawa nje kidogo ya Mji wa Morogoro,katika barabara kuu ya MOROGORO-DODOMA akiwa anatokea Dodoma kwenye Kikao cha Bunge.
Tutamkumbuka kwa jinsi alivyojishughulisha na kukomesha UFISADI wa wakati ule.
Subscribe to:
Posts (Atom)
1 Maoni yako: